Proverbs 30:21-23


21“Kwa mambo matatu nchi hutetemeka,
naam, kwa mambo manne haiwezi kuvumilia:
22 aMtumwa awapo mfalme,
mpumbavu ashibapo chakula,
23mwanamke asiyependwa aolewapo,
naye mtumishi wa kike achukuapo nafasi ya bibi yake.
Copyright information for SwhNEN